1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.09.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Septemba 2021

Wabunge wapya wa Ujerumani wanafanya mikutano yao ya kwanza leo wakati ambapo vyama vyao vinatathmini yaliyojiri katika uchaguzi uliopita/ Uganda ipo katika mjadala mkali unaohusu kubadili sheria za usamamizi wa haki za taifa hilo/ Ufaransa imekana shutuma kwamba inaitelekeza Mali kwa kuondoa wanajeshi wake nchini humo/ Waziri mkuu wa Israel Bennet aishambulia Iran

https://p.dw.com/p/40zsY