Tume ya uchaguzi Tanzania yatoa wito kwa Tundu Lissu/ Waziri wa Ulinzi Kongo azuru eneo la machafuko Beni/ Mapigano yamezuka kati ya Armenia na Azerbaijan/ Trump hajalipa kodi ya mapato kwa miaka mingi/ Zaidi ya watu milioni moja wamepoteza maisha kutokana na virusi vya corona