1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.08.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Agosti 2018

Nchini Kenya wakati taifa hilo liinapoadhimisha miaka 8 tangu kupitishwa katiba mpya, wadau bado wanatilia shaka utekelezwaji wa sheria za haki za kibinadamu pamoja na maadili katika uongozi// Huku kukiwa na uvumi kuhusu maandamano ya umma, wimbi jipya la kamatakamata limewalenga wanadiplomasia wa zamani na viongozi wa upinzani nchini Misri.

https://p.dw.com/p/33sHZ