Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameanza ziara yake ya kwanza nchini Israel na Palestina// Waislamu milioni mbili kutoka duniani kote wanakusanyika hii leo katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya ibada ya hajji// Utekelezaji wa hatua ya serikali ya Kenya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki unaanza rasmi hii leo.