Uganda: Museveni ameyakosoa mataifa ya Magharibi kwa kile anachokitaja kuhodhi chanjo za COVID-19 dhidi ya mataifa yanayoendelea hasa bara Afrika/ Burundi: Watu 17 wameuwawa na wengine 13 kujeruhiwa katika mashambulizi/ Hali ya usalama inazidi kuzorota katika mji wa Beni/ Iraq, Misri na Jordan zafanya mkutano wa kilele