Maandamano yamefanyika kwa siku ya pili mfululizo nchini Chad/ Wazanzibari wahimizwa kudumisha amani/ Wakimbizi 3,000 DRC wajificha bondeni kufuatia mashambulizi/ Kenya: Vifo kufuatia uunganishaji wa umeme kwa njia haramu/ Merkel ametoa wito wa kuanza tena kwa mazungumzo na China kuhusu haki za binaadamu