1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2016 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Aprili 2016

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon leo amekosoa kile alichokiita kuongezeka kwa sera za kuwabana wakimbizi barani Ulaya// Serikali ya Syria imeelezea wasiwasi juu ya habari kwamba wanajeshi 150 wa Marekani wameingia kaskazini mashariki mwa nchi hiyo// Shirika la ndege la Kenya - Kenya Airways linasema safari kumi za ndege zimefutwa leo kufuatia mgomo wa marubani.

https://p.dw.com/p/1IesF