1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.03.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S28 Machi 2018

Rais Joao Lourenco wa Angola ameanzisha wimbi la kuwakamata watuhumiwa wa ufisadi, ambalo limewakumba vigogo wa serikali iliyopita ya Jose Edouardo dos Santos// Kamisheni ya Kiswahili ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inasema itaendelea kuhakikisha kiswahili kinakuwa na nafasi yake katika kuunganisha wakaazi wa jumuiya hiyo na hata sehemu za mbali.

https://p.dw.com/p/2v6WN