Mpango wa rais Donald Trump kuhusu Mashariki ya kati umekosolewa na Wapalestina// Miaka 75 baada ya kambi ya mauti ya Auschwitz kukombolewa nchini Poland, bado Mayahudi barani Ulaya wanakabiliwa na changamoto na hawajihisi kama wako salama// Serikali ya jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo imetangaza mpango wakuanzishwa kwa kazi za uchumbaji wa Gesi ndani ya ziwa kivu.