Ukraine imetangaza sheria ya kijeshi kutokana na kitisho cha kushambuliwa na Urusi // Aliyekuwa meneja wa kampeni za Rais Trump Paul Manafort anatuhumiwa kwa kuwadanganya wapelelezi wa serikali // Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May atazitembelea leo Ireland ya Kaskazini na Wales