Wakati mzozo mpya wa Urusi na Ukraine ukiendelea kugonga vichwa vya habari na jumuiya ya kimataifa ikitoa wito wa kumalizwa kidiplomasia, mahakama katika eneo lililonyakuliwa na Urusi la Crimea imeamuru kuwekwa kizuizini kwa miezi miwili kundi la wanajeshi 24 waliokamatwa na Urusi.