1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.11.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S27 Novemba 2017

Mazungumzo ya kutafuta amani katika taifa la Burundi yameanza tena jijini Arusha nchini Tanzania// Maandalizi ya kuapishwa kwa rais Uhuru Kenyatta hapo kesho kwa muhula wa pili yamekamilika huku marais kutoka mataifa 11 wakithibitisha kuhudhuria hafla hiyo// Zimesalia siku tatu kwa dunia kuadhimisha siku ya Ukimwi.

https://p.dw.com/p/2oLZ4