Laschet asema muungano wa CDU/CSU wahitaji kujifufua upya/ Armin Laschet au Olaf Scholz: Je, nani aliye na nafasi bora zaidi ya kunda serikali ijayo ya Ujerumani? /Rais wa Tanzania awataka viongozi wa serikali za mitaa kukabiliana na janga la Covid-19/ Kundi la vijana kutoka nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki limekamilisha mbio za baiskeli za kilometa elfu sita kwa muda wa siku 55