Viongozi wa Umoja wa Afrika wanatarajiwa kufanya mikutano miwili ya kilele mjini Malabo Guinea ya Ikweta leo na kesho+++Nchi zinazokutana katika mkutano wa Shirika la Afya Duniani WHO mjini Geneva Uswisi, zinajadili jinsi ya kujiandaa kukabili majanga yanayoweza kutokea siku zijazo+++Kundi la Al Shabab lenye mafungamano na kundi la Al-Qaeda linaendelea kuwa kitisho kwa serikali mpya ya Somalia.