Macron akiri kuhusu dhima ya Ufaransa mauaji ya kimbari Rwanda// Maelfu ya watu wanauhama mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakihofia mripuko mwingine wa volkano kutoka Mlima Nyiragongo// Chama cha Wananchi CUF nchini Tanzania kimeitaka Serikali kutohoa mapendekezo ndani ya Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba kuhusu kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi