Jumuiya ya kimataifa imetenga kiasi cha shilingi bilioni 2.3 kwa ajili ya kuwawezesha wanasayansi wa Afrika kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa COVID-19/ Uchaguzi wa Rais Burundi: Kanisa Katoliki labainisha hitilafu/ Watoto Afrika Magharibi hatarini kukosa elimu/ Shughuli za usafirishaji wa mizigo eneo la Busia kati ya Kenya na Uganda zimerejea/Umoja wa Ulaya unazinduwa mpango wake mkubwa wa uokozi