MAT: Maambukizi ya corona yamepungua Tanzania/ Madereva wa magari ya kubeba shehena na mizigo wamezuiliwa kwenye mpaka wa Nimule upande wa Sudan Kusini/ Mahakama Ufaransa kutoa hukumu dhidi ya Kabuga/ SpaceX na NASA kurusha chombo kipya kuelekea anga za juu/ Polisi Hong Kong wapambana na waandamanaji