Matokeo ya uchaguzi wa bunge la Ulaya > Mahojiano/ Kongomano la kimataifa la vyombo vya habari linaendelea mjini Bonn/Mzozo wa mpaka kati ya Kenya na Somalia umechukua mwelekeo mpya/ Nairobi: Kikao cha kwanza cha baraza la Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu makazi, UN Habitat, kimefunguliwa rasmi mapema leo