Viongozi wa Korea Kaskazini na Korea Kusini wamefanya mkutano wa kilele na ambao ni wa kihistoria// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel leo anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump katika ikulu ya White House// Kumekuwako na mjadala unaoendelea nchini Kenya kwamba huenda nchi hiyo ikaitisha kura ya maoni mwishoni mwa mwaka 2020 kuhusu marekebisho ya katiba.