1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.01.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Januari 2022

Dunia yaadhimisha mauaji ya halaiki ya Holocaust+++Urusi: Majibu ya Marekani kuhusu Ukraine hayaridhishi+++Tanzania yaanzisha operesheni dhidi ya ongezeko la mauaji+++Malawi, rais Lazarus Chakwera ameliteua baraza jipya hii leo na kuwarejesha serikalini wengi aliyowafuta hatua iliyowachanganya na kuwashangaza wengi+++Zaidi ya watu 5,000 wafariki kutokana na mzingiro wa Tigray.

https://p.dw.com/p/46DA6