Shinikizo linaloongezeka kutoka kwa jumuiya ya kimataifa kwa ajili ya kuzimaliza ghasia nchini Ethiopia halijafua dafu+++Nchini Iraq, familia zinazorejea za wapiganaji wa kundi linalojiita Dola la Kiislam IS zinahitaji usaidizi+++Tanzania- Uzinduzi wa kampeni 'Tembea Nyumbani'