Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni atoa wito wa mshikamano wa kimataifa katika uzinduzi wa chanjo ya corona // Mpango mpya wa kusitisha mapigano watangazwa katika mkoa wa Nagorno-Karabakh // Na upinzani Belarus wajiandaa kwa migomo baada ya rais Lukashenko kukataa kujiuzulu