1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.09.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S26 Septemba 2021

Wajerumani leo 26.09.2021 wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wenye ushindani mkali kati ya vyama vikuu viwili, Social Democratic na kile cha muungano wa kihafidhina cha Christian Democratic Union/Christian Social Union-CDU/CSU+++Ujerumani- Vyama saba ndiyo vinapewa nafasi ya kupata viti Bungeni na vyama vitatu ndiyo vimesimamisha wagombea wa Ukansela.

https://p.dw.com/p/40sSG