Matarajio ya vita na amani kutoka Mashariki ya Kati hadi bara la Ulaya, hadi Afrika ndiyo masuala yaliyotawala katika siku ya pili ya mkutano wa kila mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa// Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameanza zoezi gumu la kuunda serikali ya muungano wa vyama, baada ya kupata ridhaa ya rais wa nchi hiyo Reuven Rivlin hapo jana.