1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.09.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S25 Septemba 2018

Kikao cha hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa kimefunguliwa rasmi kwa hotuba ya katibu mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres mjini New York// Chama kikuu cha upinzani nchini Uengereza-Labour, kinasema kitapinga pendekezo lolote la waziri mkuu Theresa May kuhusu mkataba wa kujitoa katika umoja wa Ulaya Brexit, litakapofikishwa bungeni kupigwa kura.

https://p.dw.com/p/35U5V