Huku Kenya ikijiandaa na uchaguzi hapo Agosti 9 mamilioni nchini humo wanakabiliwa na baa la njaa kutokana na kukosekana kwa mvua kwa miaka mitatu mfululizo+++Nchini Burundi unashuhudiwa uhaba mkubwa wa mafuta ya gari unaozidi kukithiri+++Serikali ya Tanzania imesema itaendelea na ujenzi wa bomba la mafuta ghafi pamoja na Uganda licha ya kuwepo malalamiko.