1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.06.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Juni 2018

Kansela Angela Merkel anakabiliwa na shinikizo kubwa wiki hii. Anajaribu kusaka ufumbuzi wa tatizo la wakimbizi linaloitishia serikali yake ya muungano kati ya CDU, CSU na SPD// Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ameupokea ujumbe kutoka Eritrea unaofanya ziara ya kwanza ya ngazi ya juu nchini humo baada ya takriban miongo miwili.

https://p.dw.com/p/30KqT