Wasyria katika maeneo yanayodhibitiwa na serikali wanachagua rais/ Blinken awasili Misri kushinikiza amani kati ya Israeli na Palestina/ Wakaazi wa Rubavu waathirika na mpasuko wa ardhi uliosababishwa na mripuko wa Volcano/ ECOWAS kukutana na viongozi wa Mali wanaoshikiliwa/ Umoja wa Mataifa wailaumu Ulaya kwa vifo vya wahamiaji