Mshindi wa kiti cha urais nchini Burundi, Evariste Ndayi-shimiye amesema ushindi wake ni wa raia wote// Siasa za Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo zinazidi kupamba moto// Kanisa Katoliki nchini Kenya limeanza kampeni kuupinga mpango wa serikali wa kuanzisha mafunzo ya uzazi mashuleni kwenye mtaala mpya unaotekelezwa// WHO yaahirisha majaribio ya hydroxychloquine kwa COVID-19.