1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.05.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Mei 2020

Limekuwa jambo la kawaida kwa viongozi wa upinzani barani Afrika kupinga matokeo ya uchaguzi pindi yanapotangazwa iwapo yamekwenda kinyume na kile walichokitarajia/ Chama cha Jubilee nchini Kenya kimeendelea kufanya mabadiliko kwenye uongozi wa kamati za seneti/ Wizara ya fedha ya Marekani imeitolea mwito Benki ya Maendeleo Afrika AfDB, kufanya uchunguzi huru juu ya madai ya ukiukaji wa maadili.

https://p.dw.com/p/3cnJs