Wanajeshi 31 wa Nigeria wameuawa/ Wakongomani wameingia kwenye tafauti, juu ya suala la kuruhusu uraia wa nchi mbili/ Uganda imeelemewa kwa kiasi kikubwa na mzigo wa madeni> Mahojiano/ Kampuni ya nishati ya Ufaransa Total inasitisha shughuli zote za uwekezaji wa dola bilioni 20 kwenye mradi mkubwa wa kuchakata gesi asili Msumbjiji / Wanaharakati Myanmar waitisha kampeni mpya dhidi ya jeshi