1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.03.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S26 Machi 2019

ACT Wazalendo yajitenga na vurugu za kisiasa Tanzania// Saudi Arabia, Kuwait na Bahrain zimeungana na nchi nyingine, kulaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kuitambua Milima ya Golan kama sehemu ya Israel//Brexit-Wabunge nchini Uingereza wamepiga kura ya kujipa mamlaka zaidi katika kufanya maamuzi ya mapendekezo mbali mbali.

https://p.dw.com/p/3Ffgz