Brexit- waziri mkuu wa Uingereza Bi Theresa May anakubali kwamba haungwi mkono vya kutosha kupitisha mpango wake wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya/ Syria: Nini kinafuata baada ya kukombolewa kwa ngome ya mwisho ya kundi linalojiita dola la kiislam IS?/ Nusu ya Idadi ya watoto wanaosoma katika shule za msingi na za upili katika kaunti ndogo ya Likoni jimbo la Mombasa wako kwenye makundi ya wahalifu.