Umoja wa Mataifa unawasihi wafadhili wakusanye dala bilioni 4.2 kugharamia msaada wa Yemen kwa mwaka huu// Waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amejiuzulu ghafla// Ndege za kijeshi za Pakistan zimeshambulia kambi ya wanamgambo katika ardhi ya Pakistan hii leo// Kadinali wa Australia George Pell amepatikana na hatia ya kuwanyanyasa kingono wavulana wawili.