Umoja wa Mataifa umeomba misaada kutoka kwa wafadhili wanaohudhuria mkutano wa kimataifa unaofanyika mjini Geneva, Uswisi leo Jumanne tarehe 26 kwa ajili ya kuwasaidia watu wa Yemen/ Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un na rais wa Marekani Donald Trump watakutana wiki hii mjini Hanoi/ Mataifa ya Afrika yametakiwa kutenga bajeti ya kutosha ili kufanya tafiti za maendeleo katika sekta ya kilimo.