Rais wa Marekani, Donald Trump amewaonya washirika wake wa kibiashara kwamba Marekani haitovumilia biashara yoyote isiyo ya haki// Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga anashikilia kuwa mpango wa kumuapisha kuwa rais wa tano bado upo// Rais Yoweri Museveni wa Uganda amewataka waafrika kufanya kila juhudi kuondokana na tofauti na uhasama wa kikabila.