Mamia wapinga kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Sudan/ Jeshi la DR Congo limewakamata wanamgambo 14 wa ADF/ Hisia mseto Uganda baada ya shambulio la bomu Kampala/ UN: Afganistan inakabiliwa na hatari ya janga kubwa la njaa/ Maoni: Erdogan anapambana kubaki madarakani