Yanayoendelea Sudan: Jeshi lavunja serikali ya mpito/ Je, ni kitu gani kinachowavutia wapiganaji wa kigeni kujiunga na waasi wa ADF na kwanini licha ya utawala wa kijeshi kuwepo mashariki mwa Congo, bado waasi wa ADF wanafanikiwa kufanya mashambulizi?/ Asasi za kiraia Tanzania zapinga kauli kutumiwa na wadhamini/ Mjerumani mfuasi wa IS ahukumiwa miaka 10 jela kwa kumuua binti wa Kiyazidi