Tanzania- Mkutano wa mawaziri wa mazingira, maliasili na utalii kutoka nchi 16 za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC// Waziri Mkuu wa Ethiopia aliyeshinda tuzo ya Nobel Abiy Ahmed anakabiliwa na changamoto kubwa zaidi katika uongozi wake/ Watumishi wa umma nchini Kenya sasa watalazimika kuvaa mavazi yaliyobuniwa na kutengenezwa nchini humo kila Ijumaa au siku za sikukuu.