1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.10.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S25 Oktoba 2017

Rais wa Mahakama ya Juu nchini Kenya, Jaji David Maraga ameahirisha kikao cha kusikizwa kwa kesi iliyowasilishwa kupinga kufanyika kwa marudio ya uchaguzi wa urais// Serikali ya Tanzania imelifungia kwa siku 90 moja kati ya magazeti maarufu nchini humo, Tanzania Daima// Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Rex Tillerson yupo ziarani nchini India.

https://p.dw.com/p/2mT7N