Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania NEC tayari imewateua na kuwathibitisha wagombea wa nafasi ya urais wa vyama 13// Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo amewasili leo nchini Sudan, akitokea nchini Israel, kwa ziara ya kwanza ya kiongozi wa juu wa Marekani// Ugiriki iko tayari kwa mazungumzo kutatua mvutano na Uturuki.