Waziri Mkuu mpya wa Uingereza Boris Johnson ni lazima aweze kuunda serikali ya wanachama watiifu ili kuanza kupanga kufanikisha ahadi yake ya kuiondoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya//People Power nchini Uganda linaloongozwa na mwanamuziki Bobi Wine, limetangaza kuwa sasa ni vuguvugu la kisiasa