1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.05.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Mei 2020

Trump apiga marufuku wasafiri kutoka Brazil/ Shughuli za kibiashara katika maeneo ya mpakani mwa Kenya na Uganda ya Busia na Malaba, zinaendelea kutatizwa baada ya madereva wa malori ya mizigo kufunga barabara/ Raia wa Burundi wanasubiri matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu/ Umoja wa Mataifa wafichua njama za kijeshi nchini Libya/ Afghanistan kuwaachia huru wafungwa wa Taliban

https://p.dw.com/p/3cj9z