1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.05.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S25 Mei 2018

Nchini Italia, vyama vinavyopinga muungano wa Ulaya na vinavyofuata siasa kali za mrengo wa kulia zinaunda serikali// Wapiga kura wa Ireland hii leo wataamua ikiwa wadumishe moja ya mifumo migumu ya utoaji mimba barani Ulaya// Sheria mpya za kulinda data barani Ulaya zinaanza kutekelezwa leo Ijumaa.

https://p.dw.com/p/2yIPa