Marekani yawaomba washirika wa jumuiya ya kujihami ya NATO kushirikiana katika kupambana na kitisho kinacholetwa na China // Korea Kaskazini yafyatua vifaa vinavyohisiwa kuwa ni makombora kuelekea bahari ya Japan // Na Joe Biden ampa jukumu makamu wake Kamala Harris la kushughulikia mzozo wa wahamiaji