1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.03.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Machi 2021

Tanzania, Chato- Mwili wa aliyekuwa rais wa taifa hilo la Afrika Mashariki, Marehemu John Magufuli, unaagwa nyumbani kwake katika Uwanja uliopewa jina lake//DR Congo- Waasi wa kundi la ADF wanaripotiwa kuendelea kuvishambulia vijiji katika wilaya ya Beni// Rais wa Marekani Joe Biden atajiunga kwa njia ya video na viongozi wengine katika mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/3r6xD