India yatangaza sheria ya kutotoka nje/ Umoja Mataifa: Mikakati ya kushughulikia wakimbizi wapatao zaidi ya milioni moja laki tatu nchini Uganda/ Kaunti ya Nairobi imeondoa ada zote zinazohitajika kutolewa katika vyumba vyote vya kuhifadhia maiti vya umma katika kipindi cha siku saba zijazo/ Mahojiano kujua hali ya maisha ilivyo mtu anapowekwa karantini