Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapendelea kuutatua mzozo kati ya nchi yake na Iran kwa njia ya za kidiplomasia / Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yuko nchini China kwa ziara yake ya kwanza tangu alipochaguliwa kuwa Kansela