1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.01.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Januari 2021

Mahakama Uganda yaamuru Bobi Wine aachiliwe mara moja/ Waziri Mkuu wa Congo kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye/ Nchini Tanzania kilio kinaongezeka cha mfumuko wa bei za vyakula na bidhaa za vyakula hatua inayoathiri mfumo wa maisha ya kila siku/ Mashirika: Waondoeni waasi wa Houthi kwenye orodha ya magaidi/ Umoja wa Ulaya unazingatia kuanzisha upya vikwazo dhidi ya Urusi

https://p.dw.com/p/3oN9b