Polisi nchini kenya imesema inaendelea na msako wa kuwakamata washukiwa wote wanaoaminika kuwa na uhusiano na wanamgambo waliofanya shambulizi la kigaidi hivi karibuni// Rais wa Sudan Omar al-Bashir anaendelea kukabiliwa na shinikizo kutoka vuguvugu linalomtaka kuondoka madarakani